https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?view=att&th=142aab752dcc0483&attid=0.2&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P90fuF_-XHOSL6iwje353GN&sadet=1385875932310&sads=Vc0ZF7B53Mozcht61SknwuXmzBY
Muuguzi Mshauri wa kupima maambukizi ya Virusi vya Ukimwi,Bi. Aulelia Kunambi, akimpima Meneja Raslimali Watu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bw. David Mafuru (kulia), wakati wa zoezi maalumu la kupima Ukimwi kwa hiari kwa wafanyakazi wa Kampuni hiyo,Dar es Salaam.

https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?view=att&th=142aab752dcc0483&attid=0.3&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P90fuF_-XHOSL6iwje353GN&sadet=1385875980692&sads=neRd3JHhnec9MsnJwgvRXKZzKIU 
Katibu Tawala wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bi. Tereza Mbando  (katikati), akiwasha mshumaa kuzindua zoezi la kupima virusivya ukimwi kwa hiari kwa wafanyakazi wa Kampuni ya  Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam kuadhimisha siku ya Ukimwiduniani. Kulia ni Meneja Raslimali watu wa kampuni hiyo,Bw. David Mafuru. 

https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?view=att&th=142aab752dcc0483&attid=0.4&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P90fuF_-XHOSL6iwje353GN&sadet=1385876009639&sads=25ZHTW_4EXMsfnvw0VNb3omaaT8 

  https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?view=att&th=142aab752dcc0483&attid=0.5&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P90fuF_-XHOSL6iwje353GN&sadet=1385876031448&sads=tx0ZtOz4uRfXlhpjE_2co63_JVc 
 Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),  wakiwasha mishumaa baada ya kushiriki katika zoezi la kupima ukimwi kwa hiari, wakati wakiadhimisha siku ya Ukimwi Duniani.

  https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?view=att&th=142aab752dcc0483&attid=0.6&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P90fuF_-XHOSL6iwje353GN&sadet=1385876200263&sads=PqpcJkhLCoDHJcSL5txvE7PpVqQ
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/u/0/?view=att&th=142aab752dcc0483&attid=0.7&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P90fuF_-XHOSL6iwje353GN&sadet=1385876249949&sads=8_m6GbuxfE6VfUIJ3GE25l-2qbI 
 Wasanii wa kundi la THT wakitoa burudani kwa wafanyakazi wa Kampuni ya Bia Tanzania TBL, wakati wa zoezi la kupima virusi vyaukimwi kwa wafanyakazi wa kampuni hiyo, Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...