Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim akiongea na wanafunzi wa Mwaka wa Pili wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma ya Chuo Kikuu Cha Dar es salaam alipokaribishwa kubadilishana nao uzoefu wake katika masuala ya habarai na maadili ya uandishi wa habari kazini. Vodacom imekuwa ikiruhusu wafanyakazi wake waliobobea kwenye fani mbalimbali kutoa ujuzi wao kwa wanafunzi vyuoni na amshuleni.
Wanafunzi wa Mwaka wa Pili wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umm ya Chuo Kikuu Cha Dar es salaam wakimsikiliza Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim(hayupo pichani) aliyekaribishwa kubadilishana nao uzoefu wake katika masuala ya habarai na maadili ya uandishi wa habari kazini. Vodacom imekuwa ikiruhusu wafanyakazi wake waliobobea kwenye fani mbalimbali kutoa ujuzi wao kwa wanafunzi vyuoni na mashuleni.
Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim akiongea na wanafunzi wa Mwaka wa Pili wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma ya Chuo Kikuu Cha Dar es salaam alipokaribishwa kubadilishana nao uzoefu wake katika masuala ya habarai na maadili ya uandishi wa habari kazini. Vodacom imekuwa ikiruhusu wafanyakazi wake waliobobea kwenye fani mbalimbali kutoa ujuzi wao kwa wanafunzi vyuoni na amshuleni.
Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim (kulia) akifuatilia swali kutoka kwa mmoja wa wanafunzi wa Mwaka wa Pili wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma ya Chuo Kikuu cha Dar es salaam (wa kwanza kushoto alyeketi). Mwalim alikaribishwa Chuoni hapo kuzungumza na wanafunzi hao kuhusu uzoefu wake katika masuala ya habari na maadili ya uandishi wahabari kazini. Vodacom imekuwa ikiruhusu wafanyakazi wake waliobobea kwenye fani mbalimbali kutoa ujuzi wao kwa wanafuzni wa vyuo na shule za sekondari.
Mhadhiri Mwandamizi wa Shule Kuu ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano kwa Umma ya Chuo Kikuu Cha Dar es salaam Dk. Ayub Rioba (kulia) akimkaribisha Meneja Uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim (pembeni yake) kuzungumza na wanafunzi wa mwaka w apili chuoni hapo. Mwalim alikaribishwa kluzngumzia uzoefu wa masula ya habari na maadili ya uandishi wa habari kazini. Vodacom huruhusu wafanyakazi waliobobe akwenye fania mbalimbali kutoa ujuzi wao kwa wanafuzni wa vyuo na sekondari.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...