Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Sazi Salula akisoma hotuba ya ufunguzi katika warsha ya kufunga mradi wa matumizi salama ya Bioteknolojia ya kisasa katika Chuo ChaTaifa cha Utalii jijini Dar es Salaa
Sehemu ya Washiriki wa warsha ya matumizi salama ya Bioteknolojia ya kisasa wakifuatilia hotuba ya ufunguzi kutoka kwa Mgeni rasmi (hayupo pichani). Warsha hiyo ya kufunga mradi imefanyika leo katika Chuo cha Taifa cha Utalii jijini Dares Salaam.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Sazi Salula (kushoto) akikabidhi kifaa maalumu kwa Bw Haji Saleh, Mkurugenzi wa Taasisi ya Kilimo - Zanzibar. Kifaa hicho ni kwa ajili ya kufanya tathmini na usimamizi angalifu wa bidhaa za mazao yaliyofanyiwa mabadiliko ya kijenetiki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...