Mshindi wa kwanza kwa wachezaji wa ridhaa katika mashindano ya gofu ya NSSF,ORYX Tanzania 2013,Frank Roman akikabidhiwa kikombe na katibu tawala wa mkoa wa Kilimanjaro Faisal Issa,katikati ni mwakilishi wa wadhamini wa mashindano hayo NSSF,Daudi Mwangole.
Afisa operesheni wa shirika la hifadhi ya jamii NSSF mkoa wa Kilimanjaro Daudi Mwangole akizungumza jambo wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa michuano ya Gofu ya NSSF,ORYX Tanzania Open 2013 iliyofanyika katika viwanja vya gofu vya TPC.
Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro Faisal Issa akimwakilsiha mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama katika utoaji wa zawadi kwa washindi wa michuano ya Gofu ya NSSF,ORYX Tanzania Open 2013 iliyofanyika katika viwanja vya gofu vya TPC.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...