Rais wa Jamhuri ya Sudan Mhe. Omar Al-Bashir, akiangalia Hati za utambulisho mara tu baada ya kuzipokea kutoka kwa Balozi  Dkt. Batilda Salha Buriani katika Ikulu ya Khartoum.
 Mhe. Rais Omar Al-Bashir akipeana mkono na Mhe. Balozi Batilda muda mfupi kabla ya kupokea rasmi Hati za utambulisho kutoka kwa Mhe. Balozi  kwenye ofisi za Ikulu ya Sudan
 Mhe. Balozi akimtambulisha  ndg. Nicholaus J. Mwakasege, afisa wa ubalozi wa Tanzania Nairobi kwa Mhe. Rais Omar Al-Bushir
 Mhe. Omar Al- Bashir akifanya Mazungumzo na Mhe. Balozi Batilda kwenye Ikulu ya Rais wa Sudan
Kushoto ni Balozi Abdelbagi H. Kabeir, Mkuu wa Idara ya Afrika, Sudan pamoja na Mhe.Kamal Ismail Saeed, Waziri wa Mambo ya Nje wa Sudan wakiwa kwenye mazungumzo ya pamoja kati ya Mhe, Rais Omar Al-Bashir na Mhe. Balozi Batilda

 Mhe. Balozi Batilda akikagua Gwaride lililoandaliwa kwa heshima yake kwenye  viwanja vya Ikulu ya Sudan
Mhe. Balozi Batilda akiwa amesimama na Maofisa wa serikali ya Sudan wakati nyimbo za Taifa za Tanzania na Sudan zikiimbwa na bendi maalum kwenye viwanja vya Ikulu, Sudan.

Mhe. Balozi Batilda akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wanafunzi wa Tanzania walioko SUdan.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...