Balozi wa Tanzania Nchini Ujerumani,Mhe. Balozi PhillipMarmo (kushoto) akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Ujerumani,Mhe. Joachim Gauck wakati wa hafla fupi iliyofanyika Ikulu ya Ujerumani,tarehe 13 Januari, 2014.
Balozi wa Tanzania Nchini Ujerumani,Mhe. Balozi PhillipMarmo (kushoto) akiwa katika mazungumzo na Rais wa Ujerumani,Mhe. Joachim Gauck wakati wa hafla fupi ya kusilisha Hati za Utambulisho kwa Rais huyo iliyofanyika Ikulu ya Ujerumani,tarehe 13 Januari, 2014.
Balozi wa Tanzania Nchini Ujerumani,Mhe. Balozi PhillipMarmo (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na na Maafisa kutoka Ubalozi wa Tanzania Ujerumani na Maafisa wa Idara ya Itifaki ya Ujerumani baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...