Balozi wa Tanzania Nchini Ujerumani,Mhe. Balozi PhillipMarmo (kushoto) akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Ujerumani,Mhe. Joachim Gauck wakati wa hafla fupi iliyofanyika Ikulu ya Ujerumani,tarehe 13 Januari, 2014.
Balozi wa Tanzania Nchini Ujerumani,Mhe. Balozi PhillipMarmo (kushoto) akiwa katika mazungumzo na Rais wa Ujerumani,Mhe. Joachim Gauck wakati wa hafla fupi ya kusilisha Hati za Utambulisho kwa Rais huyo iliyofanyika Ikulu ya Ujerumani,tarehe 13 Januari, 2014.
Balozi wa Tanzania Nchini Ujerumani,Mhe. Balozi PhillipMarmo (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na na Maafisa kutoka Ubalozi wa Tanzania Ujerumani na Maafisa wa Idara ya Itifaki ya Ujerumani baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho.
Balozi wa Tanzania Nchini Ujerumani,Mhe. Balozi PhillipMarmo (kushoto) akiwa katika mazungumzo na Rais wa Ujerumani,Mhe. Joachim Gauck wakati wa hafla fupi ya kusilisha Hati za Utambulisho kwa Rais huyo iliyofanyika Ikulu ya Ujerumani,tarehe 13 Januari, 2014.
Balozi wa Tanzania Nchini Ujerumani,Mhe. Balozi PhillipMarmo (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na na Maafisa kutoka Ubalozi wa Tanzania Ujerumani na Maafisa wa Idara ya Itifaki ya Ujerumani baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...