Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,(katikati) na viongozi mbali mbali walioshiriki,Matembezi ya Bonanza la 5 la Vikundi vya Mazoezi ya Viungo, yaliyoanzia Uwanja wa Kisonge,hadi uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja.
Wanavikundi vya mazoezi ya Viungo wa Zone A,wakiwa katika Matembezi ya Bonanza la 5,yanayoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,na viongozi mbali mbali wakishiriki,matembezi hayo yaliyoanzia Uwanja wa Kisonge,na kumalizia Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja.
Kikundi cha Mazizini Beach Exercise Group,hawakuwa nyuma katika Matembezi ya Bonanza la 5,yanayoongozwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein,na viongozi mbali mbali wakishiriki,matembezi hayo yaliyoanzia Uwanja wa Kisonge,na kumalizia Uwanja wa Amaan Wilaya ya Mjini Unguja.


.jpg)
.jpg)
.jpg)
Chakushangaza Unguja vikundi vya karate na judo ruksa ila mchezo wa NDONDI Marufuku!!! lol
ReplyDelete