Marehemu Rashidi Mfaume Kawawa enzi za uhai wake. Ni miaka minne kamili toka Simba wa Vita huyu atutoke. Familia yake inatuma salamu kwa kusema:
"Its now Four years since our beloved
Mzee Rashidi Mfaume Kawawa passed away.
We miss you so much.
Innalilah Wainaillah Rajuun!!!"
Pia soma makala maalumu aliyoandika
Jenerali Ulimwengu baada ya kifo chake
Simba wa Vita akiwa kazini enzi za uhai wake
Simba wa Vita Rashidi Mfaume Kawawa akiwa na Mama Sophia Kawawa enzi za uhai wao


The mdudu,,hakika tunawa miss sn sn mashujaa wetu wa ukweli mpumzike kwa amani zote
ReplyDeletekiongozi wa kweli na sio longolongo tulionao siku hizi.
ReplyDeletemungu amrehemu.
ReplyDeleteMwl nyerere alimchagua huyu ili amburuze kwa kuwa alikuwa hakuwa na kiwango cha elimu na maarifa aliyokuwa nayo mwl nyerere ,mbona wajanja wenzake walimtoka akina kambona na mtei. Tuwege wakweli mara nyengine siasa tuweke pembeni.
Mdau wa tatu,wengi twafikiri hivyo,ila ukiangalia intellectually,wawili hao ni kama watu waliokula yamini,ndio maana kejeli kama zako zilikuwa nyingi. Hawa wazee wetu hawakusahau malengo yao kiutaifa,nje ya hapo hawakutilia maanani. Kila moja wao waliheshimiana,waliaminiana,walishibana,hakuna siasa za chuki wala majungu kati ya wachache walioamua hivyo. Wenye madukuduku waliitana,wakaelezana,na wakasonga mbele bila vinyongo wala visasi. MAY GOD REST THEM I. PEACE
ReplyDeleteeti Mtei kawa mjanja unajuwa kaanzisha Chadema lini yule?
ReplyDeleteSi mfanyakazi wa BOT alikuwa yule before usimfananishe Kawawa na mdudu Mtei wewe
Huo ujanja wa akina Kambona ni upi? na uliwasaidia wao na nchi kwa lipi?
ReplyDelete