Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr. Fennela Mukangara akiteta jambo na Mkurugezi wa Kampuni ya Weli Media nchini David Lee wa kwanza kulia, ugeni huo ulimtembelea Mheshimiwa Waziri kuomba eneo kwa ajili ya kufanyia Tamasha litakaloshirikisha wasanii kutoka China na Tanzania.Katikati ni Bwana Juma Mabakila Mkurugenzi wa Kampuni ya Optima Aviation Security Limited
Mkurugezi wa Kampuni ya Weli Media nchini David Lee wa kwanza kulia akiongea na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr. Fennela Mukangara ambapo ugeni huo ulimuomba Mheshimiwa Waziri eneo kwa ajili ya kufanyia Tamasha litakaloshirikisha wasanii kutoka China na Tanzania Katikati ni Bwana Juma Mabakila Mkurugenzi wa Kampuni ya Optima Aviation Security Limited (Picha zote na Benjamin Sawe wa WHVUM).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nywele za Waziri wetu kwa mtindo ni safi !

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...