Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr. Fennela Mukangara akiteta jambo
na Mkurugezi wa Kampuni ya Weli Media nchini David Lee wa kwanza kulia, ugeni huo ulimtembelea
Mheshimiwa Waziri kuomba eneo kwa ajili ya kufanyia Tamasha litakaloshirikisha wasanii kutoka China
na Tanzania.Katikati ni Bwana Juma Mabakila Mkurugenzi wa Kampuni ya Optima Aviation Security
Limited
Mkurugezi wa Kampuni ya Weli Media nchini David Lee wa kwanza kulia akiongea na Waziri
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr. Fennela Mukangara ambapo ugeni huo ulimuomba
Mheshimiwa Waziri eneo kwa ajili ya kufanyia Tamasha litakaloshirikisha wasanii kutoka China na
Tanzania Katikati ni Bwana Juma Mabakila Mkurugenzi wa Kampuni ya Optima Aviation Security Limited
(Picha zote na Benjamin Sawe wa WHVUM).
Nywele za Waziri wetu kwa mtindo ni safi !
ReplyDelete