Dkt John Pombe Magufuli akipungia lori la kwanza kupita baada ya daraja la Dumila kuanza kupitika kufuatia kazi ya kuliweka sawa kufanukiwa
Dkt John Pombe Magufuli akikagua ujenzi wa daraja hilo
Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Pombe Magufuli akisimamia kazi ya ujenzi wa daraja la Dumila
Waziri wa Ujenzi, Dkt. John Pombe Magufuli akipongezwa kwa kusimamia kwa masaa 24 kazi za ujenzi wa daraja la Dumila
Ahsante sana Mhe. Magufuli kwa kujituma kimajukumu!
ReplyDeleteJasho lako halite kwenda bure, usingizi wako hauta potea bure utapata malipo makubwa sana!!!
Ungozi sio cheo ila ni kijituma na kutimiza wajibu, Mungu tujalie kina Magufuli wengi tusonge mbele... Shuktan mkuu.
ReplyDelete