GLOBU YA JAMII INAPENDA KUMPA HEPI BESDEI YA KUZALIWA MZEE YA CHRIS LUKOSI ( pichani, akiwa bado kinda) AMBAYE BAADA YA KUPAMBANA VYA KUTOSHA HIVI SASA NI MKURUGENZI WA KAMPUNI PENDWA YA SERENGETI FREIGHT FORWARDERS ILIYOKO UINGEREZA. HAKIKA UMETOKA MBALI NA HAPO ULIPO NI MBALI PIA.
TUNASHUKURU KWA KUWA MMOJA WA WADAU WANAOIPA TAFU GLOBU YA JAMII KWA HALI NA MALI. MOLA AKUZIDISHIE MAARIFA NA NGUVU ZA KUENDELEA KUWA NAMBARI WANI KATIKA SEKTA YA USAFIRISHAJI MIZIGO MIKUBWA NA MIDOGO KUTOKA UINGEREZA HADI MAHALI POPOTE DUNIANI - ANKAL
Hongera Mzee wa Kazi Chris Lukosi!
ReplyDeleteKama ingekuwa pana uwezekano ukarejea kwenye utoto kama ulivyo ktk picha nadhani hata sisi wengine hakuna angekataa uhamisho huo!!!