Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,SACP Ahmed Msangi akizungumza na waandishi wa habari wa Mkoa wa Mbeya (hawapo pichani) alipowaita kwa kuijitambulisha kwao na kutoa taarifa ya matukio mbali mbali yaliyotokea kwa kipindi cha Mwaka 2013.
 Waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali jijini Mbeya,wakiendelea kuchukua taarifa aliyokuwa akiitoa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,SACP Ahmed Msangi. 
 Waandishi wa habari kutoka vyombo mbali mbali jijini Mbeya wakimsikiliza kwa makini Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya,SACP Ahmed Msangi (hayupo pichani).
Mwanalibeneke Othman Michuzi (wa tatu kulia) akiwa kwenye picha ya pamoja na Waandishi wa Habari toka vyombo mbali mbali jijini Mbeya mara baada ya Mkutano na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya.kutoka Kulia ni Ezekiel Kamanga (Bomba FM),Freddy Jackson (Mbeya FM),Freddy Njeje (Tone MultMedia Group),Joseph Mwaisango (Mbeya Yetu Blog),Dada Pendo Fundisha (New Habari) pamoja na Shomi Mtaki (Uhuru/Mzalendo).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...