Gavana wa Klabu za Lions za Tanzania na Uganda, Wilson Ndesanjo (kushoto) akigawa vifaa vya elimu zilizotolewa kama msaada na Klabu ya Lions ya Amani kwa Mwanafunzi wa kidato cha nne,Hawa Kassim kutoka Shule ya Sekondari ya Benjamin Mkapa, kwenye makabidhiano ya vitu kwa makundi mbalimbali, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Hafla hiyo ilihudhuria na Rais wa klabu hiyo, Ushman Khan (wa pili kulia) na wanachama wengine wa klabu hiyo.
Gavana wa Klabu za Lions za Tanzania na Uganda, Wilson Ndesanjo (kushoto) akigawa baadhi ya vyerehanai vilivyotolewa kama mmsaada na Klabu ya Lions ya Amani kwa Mkazi wa Gongolamboto jijini Dar es Salaam, Salma Khamisi, kwenye makabidhiano ya vitu kwa makundi mbalimbali, jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Hafla hiyo ilihudhuria na Rais wa klabu hiyo, Ushman Khan (wa pili kushoto)na wanachama wengine wa klabu hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...