LAPF wakikabidhi msaada kwa Hospitali ya Hydom
Mkurugenzi
Mkuu wa Hospitali ya Hydom Bw. Olav Espegren akishukuru baada ya kukabidhiwa
mashuka 300, vyandarua 300 na mablangeti 150 kwa ajili ya Wodi ya watoto katika
hospitali hiyo.
Muuguzi
Mkuu wa Hospitali ya Hydom Bw. Emmanuel Mighay akishukuru baada ya kupokea
msaada kutoka LAPF. Pembeni ni Meneja wa LAPF kanda ya Kaskazini Bw. Rajabu
Kinande.
Muuguzi
mkuu wodi ya watoto Bi, Martha Mayo akitoa neno la shukurani baada ya kupokea msaada kutoka LAPF.
Katibu wa Hospitali bw. Joseph Saibulu akitoa neno la shukurani kwa LAPF
1.
Meneja
wa LAPF kanda ya Kaskazini bw. Rajabu Kinande akipeana mkono na Mkurugenzi Mkuu
wa Hospitali ya Hydom Bw. Olav Espegren baada ya kukabidhi msaada wa mashuka
300, vyandarua 300 na mablangeti 150 kwa ajili ya Wodi ya watoto. Chini ni wadau katika hafla hiyo fupi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...