Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Ernest Mangu, akisalimiana na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad alipofika ofisini kwake Migombani kwa ajili ya kujitambulisha. Katikati ni kamishna wa polisi Zanzibar Hamdani Omar Makame.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania Ernest Mangu, ofisini kwake Migombani.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Ernest Mangu, akifafanua jambo wakati wa mazungumzo yake na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad alipofika ofisini kwake Migombani.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wakuu wa Jeshi la Polisi nchini. Kutoka kushoto ni Kamishna wa polisi Zanzibar Hamdani Omar Makame, Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Ernest Mangu na Naibu Mkuu wa Polisi Abrahmani Kaniki.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa katika picha ya pamoja na watendaji wakuu wa Jeshi la Polisi nchini pamoja na wasaidizi wao. (picha na Salmin Said, OMKR).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...