Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu(kushoto)akimkabidhi Mshindi wa promosheni ya Timka na Bodaboda,Bw.Wiston Urio hundi yenye thamani ya shilingi Milioni ishirini(20,000,000) baada ya kuibuka mshindi wa mwezi Disemba. Ili kushiriki mteja promosheni hiyo mteja wa Vodacom hutuma neno Promo kwenda 15544.
Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu(kushoto)pamoja na Ofisa huduma na bidhaa wa kampuni hiyo Mathew Mwampambe wakimshuhudia Bw.Wiston Urio ambaye ni mshindi wa wa Disemba wa shilingi Milioni ishirini(20,000,000)katika Promosheni ya Timka na Bodaboda akihakiki hundi yake kabla ya kukabidhiwa rasmi.
Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu (kushoto) akipeana mkono wa pongezi na Mshindi wa promosheni ya Timka na Bodaboda,Bw.Wiston Urio aliejishindia shilingi Milioni ishirini(20,000,000) baada ya kuibuka mshindi wa mwezi Disemba. Ili kushiriki mteja promosheni hiyo mteja wa Vodacom hutuma neno Promo kwenda 15544.
Mshindi wa Disemba wa shilingi Milioni ishirini(20,000,000)katika Promosheni ya Timka na Bodaboda inayonedeshwa na Vodacom Bw.Wiston Urio na Mkewe Consolata Urio wakionyeshwa na Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu nyaraka kuthibitisha jinsi fedha za ushindi zilivyoingizwa kwenye akaunti ya benki ya Urio kupitia mfumo wa kielektroniki wa kibenki wa utumaji pesa. Kushiriki promosheni hiyo mteja wa Vodacom hutuma neno Promo kwenda 15544.
Mshindi wa Disemba wa shilingi Milioni ishirini(20,000,000) wa Promosheni ya"Timka na Bodaboda" Bw.Wiston Urio akitaniana na Mkewe Cosolata Urio huku akihakiki sifuri za kwenye hundi kama zimekamilika kwa thamani ya Sh. 20 Milioni alizojishindia. Kushoto ni Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Matina Nkurlu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...