Na Faustine Ruta, Bukoba
Mama Flora Mtegoa, mzazi wa  muigizaji Marehemu Steven Kanumba,  akionekana mwingi wa furaha leo baada ya kukutana uso kwa uso na wasanii wa nyumbani Bukoba leo kwenye Fukwe za Kiroyera ziwa Victoria. Wasanii hao pamoja na kukutana na Mama Kanumba walikuwa kwenye matayarisho ya Uzinduzi wa Filamu yao mpya.
Mama Kanumba (kulia) akisikiliza swali kutoka kwa Msanii
Msanii akimuuliza swali Mama Kanumba

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...