Wilfred Ringo na Doktael Ringo, wazazi wa mwandishi wa gazeti la Habari Leo Mkoani Manyara, marehemu Fortunatha Ringo, wakiuaga mwili wa mtoto wao aliyefariki jijini Dar es salaam Januari 10 mwaka huu na kuzikwa kijijini Mdawi Old Moshi, Januari 13 mwaka huu.
Baadhi ya waandishi wa habari wa mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro, wakibeba jeneza lenye mwili wa mwandishi wa habari wa gazeti la Habari Leo Mkoani Manyara, marehemu Fortunatha Ringo aliyefariki dunia Januari 10 mwaka huu jijini Dar es salaam kwa ugonjwa wa kuishiwa damu na kuzikwa Januari 13 kwenye kijiji cha Mdawi Old Moshi.
Jeneza lenye mwili wa mwandishi wa habari wa gazeti la Habari Leo Mkoani Manyara, marehemu Fortunatha Ringo aliyefariki dunia Januari 10 mwaka huu jijini Dar es salaam kwa ugonjwa wa kuishiwa damu, likiingizwa kaburini na kuzikwa Januari 13 kwenye kijiji cha Mdawi Old Moshi.
Mwandishi wa gazeti la Mwananchi mkoa wa Manyara, Joseph Lyimo (kushoto) na Meneja wa Radio Safina ya Arusha, Jovin Msuya wakiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Fortunatha Ringo, mwandishi wa habari wa gazeti la Habari Leo Mkoani Manyara aliyefariki Januari 10 jijin Dar es salaam na kuzikwa Januari 13 kijijini Mdawi Old Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nimeipenda hii, huko Kilimanjaro mpaka akina mama wanabeba jeneza, wanaumne na wanwake wote ni sawa

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...