Mhandiri Msaidizi wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) Missanya Bingi, (kulia) akiwa na Mkuu wa kituo cha polisi Mirerani Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, SP Ally Mohamed Mkalipa , wakiwa wamemaliza warsha ya wadau wa madini kuhusiana na ugatuzi na ugatuaji wa madini yaaani kunufaika kupitia rasilimali hiyo.
Mhandiri Msaidizi wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) Missanya Bingi, (kulia) akiwaelekeza wadau wa madini wa wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, jana mji mdogo wa Mirerani katika warsha ya ugatuzi (kunufaika) na madini.
Mhandiri maaana yake nin?
ReplyDeletesesophy