Mhandiri Msaidizi wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) Missanya Bingi, (kulia) akiwa na Mkuu wa kituo cha polisi Mirerani Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, SP Ally Mohamed Mkalipa , wakiwa wamemaliza warsha ya wadau wa madini kuhusiana na ugatuzi na ugatuaji wa madini yaaani kunufaika kupitia rasilimali hiyo.
Mhandiri Msaidizi wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM) Missanya Bingi, (kulia) akiwaelekeza wadau wa madini wa wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, jana mji mdogo wa Mirerani katika warsha ya ugatuzi (kunufaika) na madini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...