Mgombea Uwakilishi Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki kwa Chama cha Wananchi CUF Bwa. Abdulmalik Haji Jecha 
Msimamizi wa Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar Suluhu Ali Rashid, akimkabidhi Fomu za kugombea Uwakilishi katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Kiembesamaki Zanzibar Bwa Abdulmalik Haji Jeche. fomu yake ya kugombea Uwakilishi wa Jimbo hilo alipofika Ofisi za Tume Maisara Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...