Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala bora) Kapteni mstaafu George Mkuchika, akizungumza juzi mjini Babati, kwenye mkutano wa 20 wa Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Manyara RCC, katikati ni Mkuu wa Mkoa huo Elaston Mbwilo na Kaimu Katibu Tawala Missaile Musa.
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Elaston Mbwilo akizungumza juzi Mjini Babati wakati wa mkutano wa 20 wa Kamati ya ushauri ya mkoa huo RCC (kulia) ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Utawala bora) Kapteni mstaafu George Mkuchika na Kaimu Katibu Tawala Missaile Musa.
Mbunge wa Jimbo la Babati Mjini, Mkoani Manyara, Kisiery Werema Chambiri (CCM) akizungumza juzi mjini Babati kwenye mkutano wa 20 wa Kamati ya Ushauri ya mkoa huo (RCC).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...