Hii ndio  Helikopta  iliyowakusanya  wana Iringa  leo uwanja wa Mwembetogwa 
Dr Slaa akiwasili katika  kiwanja cha Mwembetogwa leo 
Mbunge wa  jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akiwahutubia wana Iringa leo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. The mdudu,anasema mikutano kama hiyo mshafanya kwenye chaguzi mbali mbali toka miaka ileee lakini wapi ndugu zangu kinachokumalizeni nyie kwenye hizo chaguzi kwa mtazamo wangu ni haya hapa ikumbukwe mm sijasoma hata darasa moja ila naitumia vizuri sn sn akili zangu alizonijaalia mungu wangu pasipo kuzichakachua,,niludi kwenye topic yangu,,huo umaati wote ulio hapo wengi wao ni watoo na vijana wadogo ambao hata kwenye uchaguzi hawaruhusiwi KUPIGA KURA kinacho wasogeza hapo ni hiyo CHOPA TU nakusikiliza mnachosema ila mkutano ukiisha mtoto huyo huyo au kijana yuleyule siku ya pili yake UKIMUULIZA VIPI ULIENDA KWENYE MKUTANO WA CHEM CHEM au CHADEMA jibu atakalo kupa hili hapa ndio nilikwenda lakini sikumbuki lini walikuja na nini walisema,wadau hapa tujiulize mtu akishindwa kwenye UCHAGUZI kwa mambo kama hayo ni nani? ALAUMIWE,,angalizo kwa wadau mm sina chama chochote nimaoni 2

    ReplyDelete
  2. Unazi mwengine bwana si mzuri....eti hii ndio Chopa iliyowakusanya wakazi wa Iringa, watake radhi bwana, wamekuja kusikiliza hoja nzito ili mwakani watoe hukumu....

    ReplyDelete
  3. Kujipendekeza kwenu aibu inawakutia siyo muda, hivi unawaona hapo ni watoto? hebu zoom hizo picha, wale wanaopelekaga wasani mbona hujalizingumza!

    ReplyDelete
  4. Kusema kuwa huo umat umekusanywa name chopa ni ushabiki wa wazi tena ambao hauna faida! Wewe leta habar halafu sis ndiyo tuseme!Watanzania siyo washamba WA helkopta

    ReplyDelete
  5. Gharama kuuubwa kwa Helikopta!

    Halafu ktk Matokeo ya Uchaguzi mnapata Kura 3 tu!

    ReplyDelete
  6. Mdudu huyu ana akili za panzi kwani hata hakumbuki kuwa alisoma darasa la kwanza na kuendelea maana alichoandika kinadhihirisha wazi kuwa amesoma. Huyu mdudu hawezi hata kutofautisha watu wazima na watoto! picha hizo zinaonesha umati wa watu wazima lakini kwa akili za panzi anaona ni watoto.

    ReplyDelete
  7. Huyo jamaa hapo juu hawajui au hataki kuutambua ukweli. Ndugu zetu Bongo wapenda sana kuona kinachotokea, gari mbili zikigongana umati wa watu hukusanyika kujionea kumetokea nini.Ukienda huko Iringa vijijini na kuchoma moto basi, nafikiri utakusanya watu wengi. Katika watu waliohudhuria mkutano huu, bila shaka kuna watu waliokuja kwa nia ya kisiasa, lakini ni wazi kuwa wengi wemekuja kujionea hiyo helikopta, you must admit this.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...