KANALI JOHN NCHIMBI  wa Nyumbu Kibaha anasikitika kutangaza kifo cha Baba yake mzazi Mzee Kenneth Caspar Nchimbi (pichani) kilichotokea jana tarehe 20 January 2014 asubuhi Mbinga Mkoani Ruvuma.
Taratibu za mazishi zinafanyika nyumbani kwa marehemu wilayani Mbinga 
Habari ziwafikie ndugu na jamaa wote.
 Bwana ametoa bwana ametwaa,
 Jina lake lihimidiwe.
 Amen

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...