Katibu Mweznezi wa CCM mkoa wa Kilimanjaro, Michael Mwita (Kushoto) akiteta jambo na Mgombea wa kiti cha Udiwani kata ya Kiboriloni wa tiketi ya chama cha Mapinduzi, Willy Adriano, wakati wa Uzinduzi wa Kampeni kuelekea uchaguzi mdogo kuziba pengo lililoachwa wazi na aliyekuwa Naibu Meya na Diwani wa Kata hiyo,, Marehemu Vincent Rimoy aliyefariki dunia Novemba 6, mwaka jana.
Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kilimanajro, Iddi Juma, (aliyeshika kipaza sauti), akimnadi mgombea wa CCm katika Uchaguzi mdogo wa Udiwani, Wlly Adriano katika uchaguzi uzinduzi wa kampeni za uchaguzi huo unaotarajiwa kufanyika Februari 9 mwaka huu kuziba pengo lililoachwa wazi kufuatia kifo cha aliyekuwa Diwanbi wa Kata ya Kiborloni, Vincent Rimoy, alyefariki dunia ghafla Novemba 6 mwaka jana.
Katibu wa CCM mkoa wa Kilimanjaro, Steven Kazidi (kushoto), akiwa akimtambulisha Mgombea wa Udiwani katika kata ya Kiboriloni, Willy Adriano aliyesimama katikati, kulia kwake ni Mke wake.(Picha zote na Taifa Letu Blog)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...