Wanafunzi 4 wa Shule ya sekondari ya Sabodo iliyopo mkoani Mtwara,wamefariki huku wengine zaidi ya 35 wakmiwa wamejuruhiwa katika ajali iliyotokea iliyotokea mapema leo asubuhi baada ya wanafunzi hao kugongwa na gari walipokuwa katika mazoezi ya asubuhi (Mchakamchaka) shuleni hapo ambayo ipo Pembezoni mwa barabara kuku ya Mtwara ,Lindi kuelekea Dar es salaam.

Waliofariki katika ajali hiyo iliyowakuta wanafunzi hao wa Shule ya Sekondari ya Sabodo ni Ailat,Nasma na Hilda mmoja bado hajafahamika,Wote ni wanafunzi wa kidato cha kwanza na wametambulika kwa jina moja moja kwa kila mmoja..

Majeruhi wamekimbizwa katika hospitali ya Ligula,mkoani humo kwa ajili ya matibabu zaidi.

Globu ya jamii inaendelea kufatilia na taarifa kamili itawajia baadae kidogo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. inna lillah wa inna ilayhi rajiun

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...