Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin Group of Companies Bw Johson Lukaza akiwakaribisha wafanyakazi wa makampuni yaliyo chini ya Proin Group of Companies pamoja na wageni waalikwa katika sherehe ya kuukaribisha mwaka 2014 iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Jengo la Kampuni hiyo la Tranic Plaza.
Mshereheshaji wa Sherehe hiyo ambaye pia ni Mwenyekiti wa Bongo Movie Steve Nyerere akiongea na wageni waalikwa pamoja na wafanyakazi waliohudhuria sherehe hiyo ya kuukaribisha mwaka 2014 iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika Mjengo wa Tranic Plaza

Baadhi ya wageni waalikwa waliohudhuria sherehe ya kukaribisha mwaka 2014 iliyoandaliwa na Proin Group Of Companies wakigonga glasi kama ishara ya Upendo na Kuupokea mwaka katika sherehe iliyofanyika mwishoni mwa Wiki katika Mjengo wa Tranic Plaza
 Baadhi ya wakurugenzi wa Makampuni yaliyo chini ya Proin Group Of Companies wakikata keki Kama ishara ya kuukaribisha Mwaka 2014 kwenye sherehe ya kuukaribisha mwaka iliyofanyika mwishoni mwa Wiki katika Jengo la Tranic Plaza.

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...