Rais wa Jumuiya Bwn. Iddi Sandaly akitoa salamu za mwaka mpya kwa Watanzania waliofika Capitol Heights, Maryland kushuhudia mkwsha wa mwaka mpya.
Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani Bwn. Abbas Missana akitoa salamu za mwaka mpya kwa Watanzania DMV na marafiki zao kwa niaba ya Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula.
Juu na chini wanajumuiya wanaojitoa mhanga kwenye majukumu mbalimbali ya Jumuiya.
Juu na chini walimu wa darasa la kiswahili wakitunukiwa vyeti kwa juhudi zao za dhati za kufundisha darasa hilo DMV.
Juu na chini wadau wakichukua zawadi zao baada ya kushinda bahati nasibu ya papo kwa hapo.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...