Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Anne Makinda ametembelea makazi ya Balozi wa Tanzania katika Mashirika ya Umoja wa Mataifa, Geneva,  Mhe. Modest Mero, kumsalimu na pia kukutana na kufanya mazungumzo na viongozi wa Jumuiya ya watanzania waishio  Uswisi. Mh. Spika pamoja na ujumbe wake alikuwa Geneva, 27-28 Januari 2014, kuhudhulia kikao cha kwanza cha kamati ya Maspika kwa ajili ya kuandaa mkutano mkuu wa Dunia wa Maspika.
 Mh. Spika Anne Makinda akishukuru baada ya kukabidhiwa  nakala ya 
Katiba ya Jumuiya ya Watanzania
 Picha ya pamoja, Mh. Modet Mero, Mh. Anne Makinda na mama Mero, 
kwenya makazi ya balozi.
Mh. Spika katika picha ya pamoja na Mh. Balozi Modest Mero na 
 viongozi wa Jumuiya ya Watanzania waishio Uswisi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...