Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini wa Mfuko wa mafao ya kustaafu wa GEPF, anasikitika kutangaza kifo cha aliyekuwa Mkurugenzi wa Fedha na Utawala Bw Philemon Minga kilichotokea usiku wa tarehe 19 January 2014 nyumbani kwake Mwenge mjini Dar es salaam.

Mfuko unaendelea na taratibu za mazishi kwa kushirikiana na familia ya marehemu na mwili wa marehemu unatarajiwa kusafirishwa kuelekea Shinyanga kwa ajili ya mazishi siku ya Jumatano tarehe 22 Januari 2014.

Bwana alitoa Bwana ametwaa Jina lake lihimidiwe.

Amina

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...