Mhe Sophia M. Simba (Mb),  Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Mauaji ya Akina mama na Wanawake yalaaniwe vikali!!!

    Hivi pana aliyeiona dunia bila mama?

    Unapumuua mwanamke huoni ya kuwa huyo ni kama mama yako ama binti yako mwenyewe?

    Jamani tunakwenda wapi?

    Hivi hakuna njia nyingine ya kuendesha maisha bila vitu vya Kuamini amini kuwa mauaji ya binaadamu mwingine ndio Msingi wa kupata Utajiri?

    ReplyDelete
  2. This is too much!

    Hivi pana Profesa yeyote wa Biashara amewahi kushauri ya kuwa mauaji ndio msingi wa kufanikisha biashara ama kuwa Tajiri?

    Hivi tunaingia vipi Karne hii ya 21 ya Sayansi na Tekinolojia huku Kiakili(kwa ufinyu wa uelewa) na Kisaikolojia tukiwa tungali kwenye Karne ya 12?

    Tujifunze kuishi na kufikia malengo kwa kujiamini!!!

    ReplyDelete
  3. Ingawa Adhabu ya Kifo imekataliwa Duniani kutekelezwa kwa watu wanaofanya unyama huu kwa uchache wangekuwa wanafungwa Kifungo cha maisha!!!

    Ama wapewe Vifungo virefu zaidi ya umri wa kawida wa binaadamu mfano Zimbabwe Mtuhumiwa wa Ubakaji aliyefanya matendo 21 (kubaka wanawake 21) kufungwa jumla ya miaka 290 Gerezani.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...