Waziri mkuu Mizengo Pinda akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mradi wa umeme wilaya ya Nanyumbu kulia ni waziri wa nishati na madini Prof Sospeter Muhongo na kutoka kushoto ni Meneja Mwandaminzi wa TANESCO, Kanda ya Dar es salaam na Pwani inayojumuisha mikoa ya Lindi na Mtwara Mhandisi Mahende Mugaya,mkuu wa wilaya ya Nanyumbu, mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanal mstaafu Joseph Simbakalia, Mbuge wa Nanyumbu Dastani Mkapa.
Waziri mkuu Mizengo Pinda akiangalia moja kati ya magari yaliyo chomwa moto nyumbani kwa Mbuge wa Masasi Mariam Kasembe wakati wa vurugu mwaka moja uliopita alipotembelea wilaya hiyo.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akiangalia Mpira wa Matambara wa kijana Hasani Kasim alipokuwa katika ziara ya kukagua adhari za vurugu mwaka mmoja uliopita katika Wilaya ya Masasi.
Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Masasi akimwonyesha Waziri Mkuu Mizengo Pinda adhari za vurugu ambapo ofisi ya CCM ilichomwa moto mwaka mmoja uliopita.
Sehemu ya jengo la CCM Wilaya ya Masasi ambalo liliteketezwa na moto mwaka jana.
Waziri mkuu Mizengo Pinda akikagua nyumba ya Mbuge wa Masasi Mariam Kasembe ambayo ilichomwa moto wakati wa vurugu mwaka moja uliopita alipotembelea wilaya hiyo.Kulia ni Omary Lada mume wa Mbuge.PICHA NA OWM.  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Doris ChandoJanuary 27, 2014

    pole na shughuli Waziri Mkuu. na hongera kwa kazi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...