Tawi jipya la NMB Sumbawanga ambalo limehamishwa kutoka jengo la Bima lililopo makutano ya Mpanda-Msakila na linatoa huduma mbali mbali za kibenki na pia lina mashine tatu (3) za ATM.
Afisa wa Mikopo tawi la NMB Sumbawanga, Godwin Nguma akimhudumia mteja wa mkopo katika tawi jipya la NMB Sumbawanga lililohamishwa kutoka jengo la Bima lililopo makutano ya Mpanda-Msakila.
Wateja wa benki ya NMB Tawi la NMB Sumbawanga wakiendelea kupata huduma za kibenki katika tawi jipya la NMB Sumbawanga. Tawi hili linatoa huduma mbali mbali za kibenki na pia lina mashine tatu (3) za ATM.
Hongereni Sumbawanga kwa tawi hilo zuri la NMB
ReplyDelete