Haya, maji hayo......
Waziri wa maji Prof Jumanne Maghembe akipanda mti katika eneo la mradi wa maji Kiboriloni.
Mbunge wa jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo akiotesha mti katika eneo la mradi wa maji Kiboriloni.
Mkurugenzi wa mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi,Mhandisi Cyprian Luhemeja akiotesha mti katika eneo la mradi wa maji la Kiboriloni.
Waziri wa maji Prof Jumanne Maghembe akiteta jambo na mbunge wa jimbo la Moshi mjini Philemoni Ndesamburo pamoja na Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi Jafary Michael.
Afisa uhusiano wa mamlaka ya maji safi na maji taka mjini Moshi,MUWSA,Dorah Killo akitoa maelezo kwa waziri wa maji,Prof Jumanne Maghembe alipofanya ziara kutembelea na kuzindua mradi wa maji Kiboriloni. Picha zote na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Moshi.


.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)
.jpg)

Muwasogezee mabomba ya maji ndani ya nyumba za wananchi. Tuachane na mambo ya watu kupoteza muda kutafuta maji. Watanzania ni wachapa kazi wanahitaji kuwezeshwa tu ili waondokane na umasikini.
ReplyDeleteHaya maeneo ya kiboriloni hakuna maji kabisa. wananchi wanasumbuka sana. ni vema tukawasogezea watu maji ili wapate muda mwingi wa kuzalisha badala ya kutafuta maji
ReplyDelete