Meneja wa Azania Bank tawi la Moshi,Hajira Mmambe akizungumza na wafanyakazi wa tawi hilo(hawapo pichani)wakati wa hafla fupi ya sherehe ya siku ya wapendanao iliyofanyika katika ofisi za tawi hilo mjini Moshi. Meneja huyo alitoa ujummbe kwa wafanyakazi wa tawi hilo kuendelea kudumisha upendo na mshikamano katika shughuli za kila siku ili kukamilisha mhimili mmoja kati ya mihimili mitano ya Azania bank yaani "Core Values" wa kufanya kazi kama timu"Team spirit".
Wafanyakazi wa benki ya Azania tawi la Moshi wakiwa katika picha ya pamoja kila mmoja akionesha zawadi aliyopata toka kwa mwenzake ikiwa ni sehemu ya kumbukumbu katika siku ya wapendanao"Valentine day".Picha na Dixon Busagaga wa globu ya jamii,Moshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Si mchezo mmetisha sana!. Big up to you all. Tegeta Branch

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...