Mwenyekiti wa Mabalozi wa Nchi za Afrika, Karibiani na Pacific (ACP) Dr. Diodorus Buberwa Kamala ( wa pili kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa Maendeleo na Misaada wa Jumuiya ya Ulaya Mhe. Pierre Amilhat ( kushoto), Bi. Camilla Lombard Msaidizi wa Mhe Pierre (kulia) na Afisa wa Ubalozi wa Tanzania Ubelgiji Mhe. Nyamtara Mukome (wa pili kulia). Mhe Pierre amekutana leo na Balozi Kamala ofisini kwake Brussels kumweleza miradi mbalimbali inayotekelezwa na inayopangwa kutekelezwa kwa ushirikiano wa Jumuiya ya Ulaya na nchi za ACP.
Home
Unlabelled
BALOZI KAMALA AKUTANA NA MKURUGENZI WA MAENDELEO WA JUMUIYA YA ULAYA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...