Balozi wa Tanzania BELUX, Jumuiya ya Ulaya na Mwenyekiti wa Kamati ya Mabalozi wa Afrika, Karibiani na Pacific(ACP) Dr. Diodorus Buberwa Kamala akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa ACP anayesimamia Utawala na Fedha Bi. Nthisana Phillips ofisini kwake Brussels. Balozi Kamala anaendelea na ziara ya kukutana na watendaji wakuu wa ACP kwa nia ya kubainisha masuala ya kupewa kipaumbele na ACP katika kipindi cha miezi sita ijayo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...