Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akimtambulisha kwa waandishi wa habari, mgombea wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga, Iringa, Godfrey William Mgimwa (kushoto), leo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Nape amemtambulisha Godfrey ambaye ni mtoto wa Marehemu Dk. William Mgimwa, baada ya Kamati Kuu ya CCM kumpitisha, leo kuwania nafasi hiyo ya Ubunge. (Picha na Bashir Nkoromo).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Hongera Kijana , Kila la kheri Fuata Nyayo za Mzee , Uongozi Ni kipaji , kama ilivyo Muziki , Hata Banana Zoro alifuata nyayo za Baba yake , Hata kina Matumla wamejaaliwa kipaji cha ngumi Familia nzima,

    ReplyDelete
  2. kijana bado mdogo sana huyu ataweza kweli Ubunge. I wish all the best he needs to make TZ better place ....

    ReplyDelete
  3. Kila la Kheri Godfrey W. Mgimwa!

    ReplyDelete
  4. Hongera Kijana Godfrey William Mgimwa!

    Kwa zama hizi Viongozi Waaminifu, Wachapa kazi na Waadilifu wameadimika sana isipokuwa la kutupa faraja Marehemu Dr.W.A Mgimwa aliishi masiaha na alifuata nyayo za Kambarage hivyo tunaimani na wewe mwanaye utafuata nyayo hizo!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...