IGP Mstaafu, Said Mwema akipokea Salaam ya heshima na utii iliyotolewa na Gwaride Maalum lililoandaliwa na Maafisa na Askari wa Jeshi la Polisi(hawapo pichani) katika hafla fupi ya kumuaga rasmi kufuatia kustaafu kwake Utumishi wa Jeshi la Polisi kwa kumjibu wa Sheria. Hafla hiyo imefanyika leo Februari 15, 2014 katika Viwanja vya Polisi barracks Jijini Dar es Salaam.
 IGP Mstaafu, Said Mwema akikagua Gwaride Maalum alililoandaliwa na Maafisa na Askari wa Jeshi la Polisi katika hafla ya kumuaga rasmi kufuatia kustaafu kwake Utumishi wa Jeshi la Polisi kwa kumjibu wa Sheria.
 Baadhi ya Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi ambao walijitokeza kwa wingi katika hafla fupi iliyofana sana ya kumuaga rasmi IGP Mstaafu kufuatia kustaafu kwake Utumishi wa Jeshi la Polisi kwa mujibu wa Sheria. Sherehe hizo zimefanyikia katika Viwanja vya Polisi Barrack Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...