Rais Jakaya Kikwete akiongea kuhusu mbinu za kukabiliana na ujangili na biashara haramu ya meno ya tembo na pembe za faru, ambapo katika mkutano maalumu wa tatizo hilo leo huko Lancaster House jijini London, Uingereza leo, mependekeza kupigwa marufuku kwa biashara hiyo ulimwenguni kote ili kuua biashara hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. The mdudu,hongera kwa maneno yako ambayo wengi wao hawajasema kama ulivyosema ww na kuwaacha midomo wazi huku wasiamini walichokisikia toka kwako,,maana wanajua kabisa wao ndio watakao umia sn

    ReplyDelete
  2. Lakini kwa nini msianze na hawa wanaotajwa hapa Tanzania? Kamata wao funga miaka mingi, ikiwezekana wanyongwe. Na kama sharia hairuhusu, bsi na itungwe.

    ReplyDelete
  3. Hivi kupiga marufuku mnafikiri ndio itaua soko la hayo meno?? Itakachofanya ni kuongeza thamani tu!! Mbona madawa yanapigwa marufuku lakini ndo kwanza biahsara inakorea??

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...