Taswira mbalimbali za watu wa mataifa mbalimbali walioandamana kuashiria uzinduzi wa Tamasha la Sauti za Busara mwaka huu Ngome Kongwe, Zanzibar. Kwa muda wa wiki nzima tamasha hilo litarindima ambapo watu na makundi ya muziki toka kila pembe ya dunia yatatumbuiza




Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...