Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge wakiwa na wenyeji wao mara baada ya kuwasili katika  Bunge la India (Lok Sabha) wajumbe wa kamati hiyo wametembelea leo huko New Delhi, India. Ujumbe huu upo India katika ziara ya mazfunzo katika kitengo cha bunge la India Lok Sabha  BPST (Bureau of parliamentary studies and training) toka Februari 9, 2014 kuhusu kuhusu (1)  muundo wa kamati az kudumu katika bunge la India (Commitee systen in India parliament (2)  Bunge katika katika siasa  (Parliament in a India politics (3) executive Accountability to Parliament na mwisho walikutana na kamati ya ulinzi na usalama ya hukokupata kupata uzoefu kutoka kwao. 
 Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge Mhe Anna Abdallah akisaini katika kitabu cha wageni wa Bunge la India (Lok Sabha) ambalo yeye na wajumbe wa kamati hiyo wametembelea leo huko New Delhi, India
 Baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wakiwa ziarani India
 Kikao cha pamoja katika ukumbi wa mikutano wa Lokh Sabha

Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama Mhe Anna Abdallah  na Makamu  Mwenyekiti Mhe. Dkt Mohamed  Seif Khatib na mwenyeji wao Mhe. Rasheed

Kikao kikiendelea

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...