Kutoka kushoto ni Zakaria Martin Mfuko aliyekuwa Diwani wa Kata ya Masekelo(Chadema),na Kulia ni Sebastian Peter aliyekuwa diwani kata ya Ingokole(Chadema) wakitambulishwa mbele ya umati wa watu na Katibu wa NEC itikadi na uenezi Nape Nnauye kwenye viwanja vya Mahakama ya mwanzo Shinyanga mjini ambao kwa moyo mmoja wamejiunga na CCM.
Home
Unlabelled
MADIWANI SHINYANGA WAREJEA CCM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mpaka uchaguzi wa 2015 ufike tuta acha kushangaa ya Musa, tushangae ya Frauni
ReplyDelete