Mkufunzi kutoka  Shirika la Opportunity Education Foundation (OEF), la Marekani, Lisa Beth Walker, akitoa mafunzo kwa walimu wa shule ya sekondari ya Tusiime jijini Dar es salaam kuhusu namna ya kutumia kompyuta za viganjani (tablets) ikiwa ni maandalizi kwa wanafunzi wa shule hiyo kuanza kusoma kwa kielekroniki.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...