Mkuu wa mkoa wa katavi Dtk Rajabu Rutengwe akikagua Shamba darasa la mfano SAGCOT lililopo mkoani katavi katika kijiji cha Mwenge wilaya ya Nsimbo lililopandwa kitaalamu na kuzingatia kanuni bora za kilimo na kutunzwa kwa kutumia mbolea kutoka kampuni ya yara Tanzania, mbegu bora za mahindi aina ya DKC 9089 kutoka kampuni ya mosanto vipimo vya sm 75*60sm na kupandwa kwa punje mbilimbili za megu. kampuni ya Mosanto akiwa anatekeleza mradi wa kilimo(SAGCOT) mkoani katavi.
Shamba darasa la mfano SAGCOT lililopo mkoani katavi katika kijiji cha Mwenge wilaya ya Nsimbo linaukubwa wa heka mbili lililopandwa kitaalamu na kuzingatia kanuni bora za kilimo na kutunzwa kwa kutumia mbolea kutoka kampuni ya yara Tanzania, mbegu bora za mahindi aina ya DKC 9089 kutoka kampuni ya mosanto vipimo vya sm 75*60sm na kupandwa kwa punje mbilimbili za megu. kampuni ya Mosanto akiwa anatekeleza mradi wa kilimo(SAGCOT) mkoani katavi.
Shamba darasa la mfano SAGCOT lililopo mkoani katavi katika kijiji cha Mwenge wilaya ya Nsimbo lililopandwa kitaalamu na kuzingatia kanuni bora za kilimo na kutunzwa kwa kutumia mbolea ya kutoka kampuni ya yara Tanzania, mbegu bora za mahindi aina ya DKC 9089 kutoka kampuni ya mosanto vipimo vya sm 75*60 na kupandwa kwa punje mbilimbili za megu.Bi Joanith mchiwa ni bibi shamba wa kampuni ya Mosanto akiwa anatekeleza mradi wa kilimo(SAGCOT) mkoani katavi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. These maize crops are 'quite lovely'

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...