KWA MARA YA KWANZA MSHINDI KWENDA KUIWAKILISHA USA KWENYE MASHINDANO YA REDD'S MISS TANZANIA 2014 - JIJINI DAR-ES-SALAAM
MSHINDI WA 1,2,3 KILA KANDA KUJA DC KWENYE FINALS AMBAPO
MKURUGENZI NA MWAKILISHI WA MISS TANZANIA KUTOKA TANZANIA WATAKUWEPO KUTOA TAJI HILO.
MSHIRIKI LAZIMA AWE NA MAKARATASI YA KUSAFIRIA
VENUES & REGISTRATION -DROPPING NEXT
MAELEZO-TUANDIKIE ## MISSTANZANIA2014@GMAIL.COM
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...