Katibu  wa  Chadema  wilaya ya  Iringa  vijijini Felix Nyondo akipokea fomu  kutoka kwa Mwalimu Vitus Lawa (kulia) fomu za kuwania kinyang'anyiro cha kuwa mgombea wa chadema jimbo la Kalenga
Baadhi ya wadau waliomsindikiza Mwalimu Vitus Lawa kurejesha fomu za kuchaguliwa kuwania ubunge wa jimbo la Kalenga katika ofisi za chama hicho zilizoko kata ya Gangilonga.
Mwalimu Lawa  akizungumza na wafuasi  wake
Mwalimu Vitus Lawa akizungumza na waandishi (hawapo pichani)baada ya kurudisha fomu za kuwania kuchaguliwa kuwania ubunge wa jimbo la Kalenga katika ofisi za chama hicho zilizoko kata ya Gangilonga.
Picha zote na Denis Mlowe

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...