Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara Mwigulu Nchembba akimnadi mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa, katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM uliofanyika leo, kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ifunda, Iringa Vijijini.
  Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM katika uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa, akizungumza na kuomba kura kwa wakazi wa mji Ifunda mapema leo jioni katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM uliofanyika leo, kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ifunda, Iringa Vijijini.
 Baadhi ya wananchi na wanachama wa CCM wakiwa kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga,Iringa .
 Baadhi ya Wanahabari wakiwa kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga,Iringa .
 Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Bara Mwigulu Nchemba akizungumza na wakazi wa kijiji cha Ifunda mapema leo,wakati wa mkutano uzinduzi wa kampeni za CCM uliofanyika leo, kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ifunda, Iringa Vijijini.
 Mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM  ukiendeleo mapema leo jioni,kwenye Uwanja wa Chuo Cha Ifunda, Iringa Vijijini.PICHA NA MICHUZIJR-IRINGA.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Field Marshall Mwigulu Nchemba!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...