Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kwa maoni yangu naona taasisi za DINI hazistahili kuwemo kwenye bunge la Katiba.Tumeshasema serikali haina DINI.Kesho linaweza kuibuka kundi jingine likasema "na sisi tumesahaulika huku,sisi dini yetu ni a,b,c...."Serikali inapoanza kujitetea fulani ni dhehebu hili,ndiyo kabisa inachochea udini.Serikali iliangalie hili upya "when the dust has settled"Hatuoni kinachotokea pale Jamhuri ya Afrika ya Kati???

    David V

    ReplyDelete
  2. Kaole sanaa mbona hawana muwakilishi na hawajalalamika?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...