Mwanafunzi wa kidato cha pili shule ya sekondari Tusiime, Naomi Shija akifurahia kompyuta ya kiganjani (tablets), aliyokabidhiwa na Mwanzilishi wa Opportunity Education Foundatio (OEF), ya Marekani, Joe Rickehs, katika uzinduzi wa mpango wa kuwawezesha wanafunzi kusoma kwa njia ya elektroniki shuleni hapo, ambapo OEF imeipatia shule hiyo kompyuta hizo 100. Nyuma wa kwanza kushoto ni Mkurugenzi wa Tusiime, Albert Katagira na walimu wa shule hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...